TAHADHARI YA MVUA KUBWA YATOLEWA KWA MIKOA ZAIDI YA 18 NCHINI - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Friday, December 26, 2025

TAHADHARI YA MVUA KUBWA YATOLEWA KWA MIKOA ZAIDI YA 18 NCHINI

TAHADHARI ya mvua kubwa imetolewa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Arusha,Kilimanjaro, Manyara, Kigoma, Katavi,Singida, Dodoma, Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Morogoro, Ruvuma, Tanga, Dar es salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Pemba and Unguja kwa sikunya tarehe 28/12/2025

Wakazi wa maeneo husika mnapaswa kuchukua hatua stahiki.



No comments:

Post a Comment