Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri kuhusu Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma.
Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko
Muonekano wa majengo ya miundo mbinu bora ya elimu yaliyojengwa kwa fedha za CSR kutoka mgodi wa Barrick Bulyanhulu katika shule mbalimbali ...
No comments:
Post a Comment