
Beki
wa kimataifa wa England na klabu ya Totenham hotspurs Danny Rose amesema kwamba
amefurahishwa sana kucheza na mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil na mchezaji
ghali Duniani Naymar Dos Santos.
Katika
mchezo ambao umezikutanisha England na Brazil Naymar alishindwa kuamua matokeo
baada ya mchezo huo kumalizika kwa sare tasa.
Kwa
upande wa Rose yeye anaamini kwamba star huyo wa PSG mwenye umri wa miaka 25 ni
moja kati ya mchezaji bora kwa sasa Dunia.
Rose
amesema kwamba amejifunza ni kwanini Naymar
huwa anafunga magoli mengi tangu akiwa Barcelona ,PSG na Brazili kuwa ni mchezaji
mwenye maamuzi ya haraka na mwepesi katika kuchukua hatua.
Katika mchezo huo uliochezwa katika
uwanja wa Wembley Brazil walijaribu sana kutaka kupenya ukuta wa England lakini
ulikuwa haupenyeki huku ukiongozwa na Joe Gomez ambaye
ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo, John Stones, Harry Maguire na
Kyle Walker.
Ikumbukwe tu kwamba timu ya Brazil na England
wameshafuzu tayari kwenda Urusi mwakani kushiriki kombe la dunia.
MICHEZO MINGINE
YA KIRAFIKI.
14 NOVEMBER 2017
Africa - WC Qualification Africa
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
Europe - WC Qualification Europe
|
|||||
FT
|
|||||
World - Friendlies - Friendlies 1
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
World - Friendlies - Friendlies 2
|
|||||
FT
|
|||||
FT
|
|||||
World - Friendlies - Friendlies 3
|
|||||
FT
|
No comments:
Post a Comment