Monday, August 24, 2026
New
SERIKALI YAWATOA HOFU WADAU WA POMBE KALI
OSCAR ASSENGA
August 24, 2026
0 Comments
Dar es Salaam, Serikali imekutana na wamiliki wa Viwanda vya kuzalisha pombe kali nchini ikiwa ni hatua ya kuendelea kupambana na bidhaa ba...
Read More
New
MCHENGERWA AKABIDHI AMBULANCE KIBAHA
OSCAR ASSENGA
August 24, 2026
0 Comments
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amekabidhi gari la wagonjwa (ambulance) kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha m...
Read More
New
SERIKALI KUBORESHA HUDUMA ZA DHARURA KUPITIA MFUMO WA KITAIFA WA AMBULANCE
OSCAR ASSENGA
August 24, 2026
0 Comments
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI SERIKALI iko katika hatua za mwisho za kukamilisha mfumo wa kitaifa wa huduma za magari ya wagonjwa (ambulance), ...
Read More
New
TADB NA ZEEA KUSHRIKIANA KUIMARISHA UWEKEZAJI NA UFADHILI WA KILIMO ZANZIBAR
OSCAR ASSENGA
August 24, 2026
0 Comments
Na Mwandishi Wetu BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini Hati ya M...
Read More
New
TANZANIA YAIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA KENYA, AFRIKA KUSINI
OSCAR ASSENGA
August 24, 2026
0 Comments
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga (Mb), Agosti 24, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo tofauti na Mabalozi wa Kenya na Afrika ...
Read More
New
WAZIRI MKUU ATAKA UBUNIFU UPELEKWE SOKONI
Mungele Blog
August 24, 2026
0 Comments
Wziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake kuhakikisha bunifu zinazozalishwa na ...
Read More
New
HOMERA: WAFANYAKAZI WASIPUUZE HAKI NA STAHIKI ZAO
OKULY BLOG
August 24, 2026
0 Comments
Na Okuly Julius, OKULY BLOG, DODOMA Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Zuberi Homera, amewataka wafanyakazi nchini kufahamu na kufuatilia...
Read More
New
BARRICK BULYANHULU YABADILISHA MAISHA YA WANANCHI BUGARAMA KUPITIA MIRADI YA UFUGAJI NYUKI NA MAZINGIRA
OKULY BLOG
August 24, 2026
0 Comments
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda, akitembelea Kikundi cha Ufugaji Nyuki na Utunzaji wa Mazingira cha Twikondele,...
Read More
New
VETA: UJUZI MSINGI WA UTEKELEZAJI WA DIRA YA TAIFA 2050
OSCAR ASSENGA
August 24, 2026
0 Comments
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA. Anthony Kasore, amesema ujuzi ndio msingi wa utekelezaji wa Dira...
Read More
