AFARIKI BAADA YA KUNYWA CHANJO TABORA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, January 2, 2022

AFARIKI BAADA YA KUNYWA CHANJO TABORA



Mtoto mmoja mkazi wa Imalamakoye wilaya ya Urambo mkoani Tabora amefariki dunia baada ya kunywa chanjo ya ng'ombe huku mtoto mwingine akiwa katika hali mbaya kwa kunywa chanjo hiyo.


Mwenyekiti wa kitongoji cha Imalamakoye D Michael Philipo amesema watoto hao wa familia moja katika kitongoji chake waliokota chupa ya sindano za ng'ombe wakidhani kuwa ni dawa ya kifua ambapo mtoto mkubwa anayesoma darasa la pili mwenye umri wa miaka 7 alimnywesha mdogo wake aliyekuwa na kikohozi hali iliyopelekea kifo chake.


                                           Chanzo- CG FM Radio


No comments:

Post a Comment