Mwenyekiti wa kitongoji cha Imalamakoye D Michael Philipo amesema watoto hao wa familia moja katika kitongoji chake waliokota chupa ya sindano za ng'ombe wakidhani kuwa ni dawa ya kifua ambapo mtoto mkubwa anayesoma darasa la pili mwenye umri wa miaka 7 alimnywesha mdogo wake aliyekuwa na kikohozi hali iliyopelekea kifo chake.
Chanzo- CG FM Radio
No comments:
Post a Comment