HABARI PICHA: BRELA WAKABIDHIWA CHETI CHA UDHAMINI - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Thursday, May 12, 2022

HABARI PICHA: BRELA WAKABIDHIWA CHETI CHA UDHAMINI



Na Mwandishi wetu-Dodoma

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa  amemkabidhi cheti cha Udhamini Afisa Usajili kutoka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw.Gabriel Girangay kwa  kutambua mchango wa taasisi hiyo katika kufanikisha Mkutano wa Wakandarasi unaofanyika tarehe 12-13 Mei, 2022 kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma. 

Kauli mbiu ya mkutano huo ni "Umuhimu na mchango wa Wakandarasi katika Uchumi wa Tanzania".

No comments:

Post a Comment