Na Mwandishi wetu, PRETORIA
Pia Msafara huo wa Naibu Waziri unatembelea viwanda mbalimbali vinavyozalisha vifaa kwa ajili ya miradi ya maji.
Keshokutwa msafara wa Naibu Waziri utaelekea Harare nchini Zimbabwe kwa lengo hilohilo la kujifunza zaidi.
Wizara ya Maji kupitia RUWASA wapo katika utekelezaji wa matumizi ya dira za maji ya malipo kabla ya matumizi sambamba na ushirikishwaji wa sekta binafsi kwenye uendeshaji wa skimu za maji vijijini.
No comments:
Post a Comment