Aidha, pamoja na kuzungumza na Maafisa Habari hao Viongozi hao walipata fursa ya kuzungumza na Wakurugenzi wa Halmashauri hizo na kuwasisitiza kuwatumia Maafisa Habari ili kuwafahamisha na kuwaelimisha wananchi juhudi za Serikali zinazofanywa katika maeneo yao kupitia vitengo vya mawasiliano Serikalini.
Thursday, October 27, 2022
New
TAGCO YAFANYA ZIARA HALMASHAURI ZA WILAYA YA MPWAPWA NA KONGWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment