HUYU HAPA MGOMBEA WA NAFASI YA MJUMBE WA BARAZA KUU LA UWT TAIFA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Thursday, November 24, 2022

HUYU HAPA MGOMBEA WA NAFASI YA MJUMBE WA BARAZA KUU LA UWT TAIFA

"Ndugu Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UWT Taifa,kwa heshima kubwa ninaomba kibali Cha kuwatumikia katika nafasi ya MJUMBE wa Baraza Kuu la UWT Taifa,

Ninawaahidi kufanya kazi kwa kujituma,uadilifu na Kwa mapenzi makubwaaaa ili kuhakikisha kazi nzuri iliyoanzishwa na watangulizi wetu inasonga mbele...Kazi iendelee"Dr.Linda Selekwa

No comments:

Post a Comment