MATUKIO KATIKA PICHA:KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA 2022 - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, January 29, 2023

MATUKIO KATIKA PICHA:KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA 2022

Na Mwandishi wetu Dar-es-salaam 

Kikao cha 9 cha Kamati ya Ushauri ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa ajili ya kupitia baadhi ya ripoti za matokeo ya Sensa zilizo kamilika kabda ya kuzinduliwa. Kikao hiki kilipitia na kujadili machapisho ya Sensa na kuwasilisha kwenye Kamati Kuu ya Sensa. 

Kikao kilifanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Dar es Salaam tarehe 29 Januari, 2023.


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Utatibu) Dkt. John Jingu akiongoza kikao cha 9 cha Kamati ya Ushauri ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa ajili ya kupitia baadhi ya ripoti za matokeo ya Sensa zilizo kamilika kabda ya kuzinduliwa. Kikao hiki kilipitia na kujadili machapisho ya Sensa na kuwasilisha kwenye Kamati Kuu ya Sensa. Kikao kilifanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Dar es Salaam tarehe 29 Januari, 2023.
Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt.Albina Chuwa akichangia jambo wakati wa kikao hicho.
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha 9 cha Kamati ya Ushauri ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa ajili ya kupitia baadhi ya ripoti za matokeo ya Sensa zilizo kamilika kabda ya kuzinduliwa wakifuatilia kikao hicho kilichofanyika Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Hassan Abbas akizungumza kuhusu sekta yake wakati wa kikao hiccho.
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022 Mhe.Anne Makinda akizungumza wakati wa kikao hicho.
Katibu Mkuu sekta ya Mifugo Bw.Tixon Nzunda akizungumza wakati wa kikao hicho.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula akiuliza swali wakati wa kikao hicho.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Bw. Seif Shaaban akifafanua jambo wakati wa kikao hicho.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amani Zanzibar Bw. Khamis Said akizungumza wakati wakikao hicho.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

No comments:

Post a Comment