Waziri Mkuu na Mwenyekiti wa Kamati ya Sensa Kitaifa, Kassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Sensa Kitaifa, Hemed Suleiman Abdulah wakikata utepe kuzindua machapisho ya Ripoti za Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA)-Tunguu Aprili 15, 2023. Wengine ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa (Kushoto) na Mtakwimu Mkuu wa Serikali wa Zanzibar Salum Kassim Ali (Kulia) (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
|
No comments:
Post a Comment