Na Mwandishi wetu -Dodoma
Wisch akiambatana na ujumbe wake amefika ofisi za Wizara kwa lengo la kujitambulisha.
Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Carolyne Nombo ambapo wamekubaliana kuendeleza ushirikiano katika kuimarisha sekta ya elimu
No comments:
Post a Comment