![]() |
Baadhi ya wajumbe wa kikao kuhusu utekelezaji wa masuala ya lishe na Sun Global Coordinator kilichofanyika Jijini Dar es Salaam wakifuatilia hoja zilizojadiliwa wakati wa kiako hicho. |
![]() |
Mwakilishi wa wadau wa Lishe nchini kutoka UNICEF Bw. Patrick Codjia akizungumza jambo wakati wa kikao kuhusu utekelezaji wa masuala ya lishe na Sun Global Coordinator. |
![]() |
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Lishe kutoka Wizara ya Afya Bi. Neema Joshua akizungumza wakati wa kikao hicho. |
No comments:
Post a Comment