MATUKIO KATIKA PICHA HAFLA YA UZINDUZI WA MITAMBO YA UCHORONGAJI KWA AJILI YA WACHIMBAJI WADOGO NA MITAMBO YA STAMICO - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, October 21, 2023

MATUKIO KATIKA PICHA HAFLA YA UZINDUZI WA MITAMBO YA UCHORONGAJI KWA AJILI YA WACHIMBAJI WADOGO NA MITAMBO YA STAMICO

Na Okuly Julius-Dodoma

Ushiriki Wa Wizara ya Madini na Taasisi zake kwenye Maonesho katika Hafla ya Uzinduzi wa Mitambo ya Uchorongaji kwa ajili ya wachinbaji wadogo na Mitambo ya STAMICO Leo Oktoba 21,2023 Jijini Dodoma.

Ambapo Mgeni Rasmi katika hafla hiyo anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu  Hassan

##Madini ni Maisha na Utajiri##
##RAIS SAMIA MGODINI##



No comments:

Post a Comment