Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri kuhusu Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma.
Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko
Na. Mwandishi wetu, DODOMA Kikundi cha Kigamboni Vijana Unity kutoka Mtaa wa Kigamboni, Kata ya Kikuyu Kaskazini kimekabidhiwa Bajaji tano k...
No comments:
Post a Comment