Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri kuhusu Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma.
Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko
Serikali inaendelea kutekeleza Ujenzi wa barabara ya njia nne kwa awamu kuanzia Igawa - Uyole - Songwe hadi Tunduma yenye urefu wa kilometa ...
No comments:
Post a Comment