Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri kuhusu Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma.
Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko
Na Veronica Mwafisi-Mwanza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeelekeza nyaraka kuhifadhiwa katika mfumo wa kidijiti il...
No comments:
Post a Comment