MAJALIWA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA MAWAZIRI KUHUSU NISHATI SAFI YA KUPIKIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Friday, February 9, 2024

MAJALIWA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA MAWAZIRI KUHUSU NISHATI SAFI YA KUPIKIA


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri kuhusu Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma.

Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

No comments:

Post a Comment