Taarifa ya ofisi ya rais iliyotiwa saini na Kaimu Rais Nangolo Mbumba kwenye mtandao wa kijamii wa X ambayo haijaweka wazi chanzo cha kifo chake imesema:-
“Ni kwa huzuni na masikitiko makubwa kuwajulisha kuwa mpendwa wetu Dkt. Hage G. Geingob, Rais wa Jamhuri ya Namibia amefariki
PICHA MBALIMBALI ZA RAIS HUYO WA NAMIBIA DKT. HAGE ENZI ZA UHAI WAKE
No comments:
Post a Comment