RAIS DKT. SAMIA AMESHIRIKI MAZISHI YA KITAIFA YA HAYATI MWINYI ZANZIBAR - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, March 2, 2024

RAIS DKT. SAMIA AMESHIRIKI MAZISHI YA KITAIFA YA HAYATI MWINYI ZANZIBAR

Matukio katika picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshirikia Mazishi ya Kitaifa ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili hayati Ali Hassan Mwinyi leo tarehe 2 Machi, 2024 katika Uwanja wa Amani Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali.




VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWASILI KUSHIRIKI MAZISHI YA KITAIFA YA HAYATI MWINYI ZANZIBAR


Matukio katika picha kutoka Uwanja wa Amani Zanzibar ambapo viongozi mbalimbali wamewasili kwa ajili ya mazishi ya Kitaifa ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili hayati Ali Hassan Mwinyi leo tarehe 2 Machi, 2024.


No comments:

Post a Comment