KIPRE KUUZWA MC ALGER - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Thursday, June 27, 2024

KIPRE KUUZWA MC ALGER


Klabu ya Azam FC baada ya mazungumzo ya kina kati yake na timu ya MC Alger  timu hizo zimefikia makubaliano ya uhamisho wa kiungo mshambuliaji wa Azam FC Kipre Junior (24) kuuzwa kwenye timu hiyo.


Kama alivyotipoti awali “Felix Jason” Mkataba wake na Azam ulibakia mwaka mmoja na hakutaka kuongeza mwingine.


#UsajiliNBC




No comments:

Post a Comment