MAELFU WAJITOKEZA, MKUTANO WA KAMPENI WA DKT. SAMIA MAKAMBAKO - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, September 6, 2025

MAELFU WAJITOKEZA, MKUTANO WA KAMPENI WA DKT. SAMIA MAKAMBAKO



Maelfu ya wananchi waliojitokeza Mjini Makambako Mkoani Njombe leo Jumamosi Septemba 06, 2025 kwaajili ya kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, anayeendelea na mikutano yake ya kampeni Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania.

 Mara baada ya Mkutano wake huo kwenye soko kuu la Makambako, Dkt. Samia atakuwa na mikutano mingine kwenye Mkoa wa Iringa.




No comments:

Post a Comment