
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amekutana naye wakati akiwa katika ziara ya siku tatu ya kikazi mkoani Lindi.

Serikali inaendelea na mkakati kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi pamoja na wadau wa maendeleo katika suala la huduma ya maji safi na...
No comments:
Post a Comment