
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa nyumbani kwake Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi.
Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amekutana naye wakati akiwa katika ziara ya siku tatu ya kikazi mkoani Lindi.

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amepokea ugeni na mwaliko kutoka kwa Mwigizaji maarufu wa vichekesho nchini, Konjesta John maarufu kwa jin...
No comments:
Post a Comment