
Ametoa salamu zake hizo kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Gerson Msigwa ambapo rais amewataka Watanzania kusherehekea sikukuu hizo kwa utulivu na amani na kuwataka Watanzania mwaka 2018 kuwa pamoja ili nchi iweze kufanikiwa zaidi.

Na, mwandishi wetu – Arusha Mgongano wa maslahi kwa watumishi wa umma umetajwa kuathiri ufanisi kwenye utendaji na majukumu ya Serikali kuto...
No comments:
Post a Comment