JPM awatakia sikukuu njema Watanzania3 mins ago Comments Off on JPM awatakia sikukuu njema Watanzania - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, December 25, 2017

JPM awatakia sikukuu njema Watanzania3 mins ago Comments Off on JPM awatakia sikukuu njema Watanzania




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kuwatakia heri Watanzania wote katika kusherehekea siku ya Christmas na mwaka mpya.

Ametoa salamu zake hizo kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Gerson Msigwa ambapo rais amewataka Watanzania kusherehekea sikukuu hizo kwa utulivu na amani na kuwataka Watanzania mwaka 2018 kuwa pamoja ili nchi iweze kufanikiwa zaidi.

No comments:

Post a Comment