Mkuu huyo wa Wilaya alimuamuru dereva wake alipe fidia ya Shilingi “Elfu Tano” na alikemea tabia ya Madereva kugonga Kuku, Bata, Kanga au Mnyama wa aina yeyote na kisha kuondoka.
Aidha, alisisitiza wananchi walime na kufuga kisasa ili wajikwamue kiuchumi.
Mkuu wa Wilaya Chacha pia aliwaomba radhi akina Mama waliokuwa eneo la tukio na walimshukuru na kumpa baraka za kuendelea na Safari
No comments:
Post a Comment