GARI LA MBUNGE LATEKETEA KWA MOTO - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, March 27, 2022

GARI LA MBUNGE LATEKETEA KWA MOTO




Mbunge wa Masasi Mjini, Geofrey Mwambe na familia yake wamenusurika kifo baada ya gari binafsi waliyokuwa wakisafiria kushika moto na kuteketea kabisa leo Machi 27, 2022.

Mbunge huyo na familia yake walikuwa wakielekea Masasi kwenye msiba wa baba yake mzazi.

Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika

Endelea kufuatilia OkulyBlog kwa taarifa zaidi


No comments:

Post a Comment