BMH KUBADILISHA CHEMBE NYEKUNDU ZA DAMU KWA WAGONJWA WA SELI MUNDU - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Wednesday, June 15, 2022

BMH KUBADILISHA CHEMBE NYEKUNDU ZA DAMU KWA WAGONJWA WA SELI MUNDU



Na Mwandishi wetu Dodoma

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kupitia kliniki ya Magonjwa ya Damu imeanza huduma kubadilisha chembe nyekundu za damu kwa wagonjwa wa seli mundu.

Mkuu wa Kliniki ya Magonjwa ya Damu BMH, Dkt Stella Malangahe, amesema BMH imeanza huduma hii baada ya kupata mashine maalumu inayoitwa apheresis_ _machine_ na leo imemfanyia mgonjwa wa kwanza.

" Mgonjwa anabadilisha chembe nyekundu za damu kila baada ya miezi mitatu kumuondolea changamoto ya magonjwa ya seli mundu ikiwemo maumivu ya viungo ya mara kwa mara" amesema Dkt Malangahe.

No comments:

Post a Comment