TUTACHUKUA HATUA KALI KWA WATAKAOKIUKA KANUNI MPYA ZA MANUNUZI YA UMMA -HAMAD HASSAN CHANDE - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Wednesday, June 1, 2022

TUTACHUKUA HATUA KALI KWA WATAKAOKIUKA KANUNI MPYA ZA MANUNUZI YA UMMA -HAMAD HASSAN CHANDE



Na  Okuly Julius Dodoma 

Serikali kupitia wizara ya fedha na mipango imewataka wa watumishi wa umma na wazabuni wanaoshiriki katika manunuzi ya umma kuzingatia weledi,kanuni na maadili ya manunuzi ya umma ili kuleta tija kwa taifa nakusisitiza kuwachukulia hatua kali za kisheria watakaoshindwa kuzingatia maadili hayo.

Hayo yameelezwa jijini dodoma na naibu waziri wa fedha na mipango HAMAD HASSAN CHANDE wakati akizindua kanuni za maadili kwa watumishi wa umma na wazabuni wanaoshiriki katika shughuli za ununuzi wa umma ambapo amesisitiza kuwachukulia hatua watakaoshindwa kufata maadili ya ununuzi wa umma.

Kwa upande wake katibu mkuu wizara ya fedha na mipango EMMANUEL TUTUBA amesma kuwa kanuni hizo zitaimarisha maadili katika ununuzi wa umma na kuondokana na tatizo la baadhi ya wanunuzi wa umma kushirikiana na wazabuni kufanya 

Naye kamishina wa sera za ununuzi wa umma DKT.FREDRICK MWAKIBINGA akatumia fursa hiyo kueleza changamoto zinakabili sekta hiyo ya manunuzi ya umma ikiwemo usimamizi wa mikataba mibovu ya ununuzi na kuingiliwa kiutendaji kada hiyo ya ununuzi wa umma.




No comments:

Post a Comment