| Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Allan Kijazi akifafanuya jambo wakati wa kikao hicho. |
| Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Jim Yonazi akichangia jambo kuhusu uboreshaji wa miundombinu ya mawasiliano katika kijiji cha Msomera wakati wa kikao hicho. |
| Meneja RUWASA Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Omary akieleza mikakati ya kuendelea kuhakikisha huduma ya maji inaboreshwa katika Kijiji cha Msomera wakati wa kikao hicho. |
| Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za posta Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bi. Caroline Kanuti akifafanua jambo. |
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

No comments:
Post a Comment