![]() |
Mratibu wa Ujenzi wa Mji wa Serikali Bwa. Meshach Bandawe (kushoto) akitoa ripoti ya Ujenzi wa Mji wa Serikali Jijini Dodoma wakati wa Kikao hicho. |
![]() |
Timu ya Wataalam wa Kuratibu Ujenzi wa Mji wa Serikali na Taasisi za uendelezaji wa Miundo Mbinu Jijini Dodoma wakati wa kikao hicho. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU) |
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge na Uratibu) Dkt.John Jingu ameongoza kikao cha Timu ya Wataalam wa Kuratibu Ujenzi wa Mji wa Serikali Jijini Dodoma ,kikao hicho kimehusisha wataalam na Taasisi za Uendelezaji wa Miundo Mbinu.
Akizungumza wakati wa kikao hicho Katibu Mkuu John Jingu amesema utaratibu wa Manunuzi Ukamilike Mapema kwa kuzingatia ubora ili kuwezesha Mradi kukamilika kwa haraka.
No comments:
Post a Comment