Majaliwa ambaye amepokelewa na kuanza mafunzo katika Chuo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Tanga, ikiwa ni kufatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ambapo leo ni kwa mara yake ya kwanza kuingia Bungeni, na amefika na kukaa katika jukwaa wanapokaa wageni wa Spika wa Bunge.
Katika ajali hiyo, Majaliwa alifungua mlango wa ndege na kuwezesha baadhi ya abiria kutoka ndani ya ndege.
No comments:
Post a Comment