DKT.MPANGO:MSISIMAMISHE MAGARI MUDA MREFU - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Thursday, April 13, 2023

DKT.MPANGO:MSISIMAMISHE MAGARI MUDA MREFU

 Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kutofunga barabara kwa muda mrefu kusubiri kupita msafara wa kiongozi, huku akitolea mfano barabara kufungwa kwa takribani saa 4 kumsubiru apite akiwa katika ziara mkoani Mwanza. 


No comments:

Post a Comment