![]() |
Afisa Kiongozi wa Mradi wa Programu ya Kuendeleza sekta ya Kilimo na Uvuvu (AFDP) kutoka Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Bi. Amina Ussi akichangia jambo wakati wa kikao hicho. |
![]() |
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa MbeguTanzania (TOSCI), Patric Ngwediagi akifafanua jambo wakati wa kikao hicho. |
No comments:
Post a Comment