Jeshi la Polisi Kikosi Cha Usalama Barabarani imewapongeza abiria wa kituo cha daladala Mpiji Magoe ,Mbezi Jijini Dar Es Salaam, kwa kutengeneza utaratibu wa kusubiri Basi kwa kupanga mstari, Basi linapofika wanapanda kwa mstari, likijaa, wanaobaki wanasubiri lingine,huku Jeshi hilo likisema huo ustaarabu wa abiria hao ni wa kuigwa na watanzania wengine wanaotumia mabasi.
Monday, December 18, 2023
New
JESHI LA POLISI LAWAPONGEZA ABIRIA WA MPIJI MAGOE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment