Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, Dar es Salaam.
Taarifa ya kifo chake imetangazwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.
Na Okuly Julius, OKULY BLOG, DODOMA Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeanza mara moja kushughulikia changamoto ili...
No comments:
Post a Comment