Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, Dar es Salaam.
Taarifa ya kifo chake imetangazwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kaspar Mmuya, tayari ameshapiga kura katika Kituo cha Zahanati kijiji ...
 
 
No comments:
Post a Comment