Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, Dar es Salaam.
Taarifa ya kifo chake imetangazwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.
Meneja wa Programu ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto kutoka Amref Health Africa nchini Tanzania, Dkt. Serafina Mkuwa (kulia) akikabidhi moja y...
No comments:
Post a Comment