Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Na Okuly Julius, OKULY BLOG, DODOMA Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameielekeza TANROADS kuhakikisha inamsimamia kwa karibu mkandarasi wa m...
No comments:
Post a Comment