Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Madaktari wa Mifugo wakitekeleza zoezi la uchanjaji Ngombe na Kuku leo Julai 3, 2025 wakazi wa zoezi hilo wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma. N...
No comments:
Post a Comment