Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Bw. Albert Msovela, amefungua rasmi Kikao Kazi cha Maafisa Elimu ya Watu Wazima wanaotekeleza programu za E...
No comments:
Post a Comment