Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Mtaala mpya wa elimu umeanza kutumika , ukiwa na lengo la kuimarisha ujuzi, stadi, ubunifu, na maarifa kwa wanafunzi. Mtaala huu unasisitiza...
No comments:
Post a Comment