Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Klabu ya Mashujaa FC imemtangaza mshambuliaji Mohamed Mussa 🇹🇿 kuwa mchezaji wao kwa mkataba wa miaka miwili kutokea Simba SC.
Mohamed Mussa pia amewahi kupita Mbeya City kabla haijashuka daraja.
Done ✅🔚✔️☑️
#UsajiliNBC
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mgombe Urais kupitia CCM, Dkt. ...
No comments:
Post a Comment