Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Oryx Gas Tanzania imeongeza nguvu katika kampeni ya matumizi ya nishati safi kwa kuzindua duka jipya la gesi Chato, likiwa sehemu ya mkakat...
No comments:
Post a Comment