Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara katika mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu kwa lengo la kuona na kujir...
No comments:
Post a Comment