Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Na Mwandishi Wetu- Dodoma Wanataaluma na wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo Desemba 16,2025 wamekutana jijini Dodoma katika Ko...
No comments:
Post a Comment