Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Klabu ya KMC imethibitisha na kumtangaza Osacl Paul Mwaigaga kama mchezaji wake mpya ambaye wamemnasa kutoka klabu ya Kakamega Home Boys ya Kenya.
Oscar ni raia wa Tanzania ambaye alijiunga na Kakamega msimu uliopita akitokea Tanzania Prisons.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Fedha, Bi. Fauzia Nombo, akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizar...
No comments:
Post a Comment