Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Mkaguzi wa Polisi Kata ya Kimanga, Mkoani Dar es Salaam Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP) Faharia Juma, amewataka vijana kuwa wazalendo, n...
No comments:
Post a Comment