Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yana...
No comments:
Post a Comment