Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda uhuru wa kuabudu na kuimarisha ushirikiano na taasisi za dini kwa kuta...
No comments:
Post a Comment