Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi ...
No comments:
Post a Comment