Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Valentin Nouma (24) 🇧🇫 akiwa mchezaji huru akitokea Saint Éloi Lupopo 🇨🇩.
Mkataba wake utakuwa ni mwaka mmoja wenye chaguo la kuongeza mwingine.
#UsajiliNBC
Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Bw. Albert Msovela, amefungua rasmi Kikao Kazi cha Maafisa Elimu ya Watu Wazima wanaotekeleza programu za E...
No comments:
Post a Comment