Afisa Habari Mwandamizi, kutoka Wizara ya Fedha, Bi. Farida Ramadhan (kulia), akiwaelezea wanafunzi wa Shule ya Sekondari Marie De Mathias ya jijini Dodoma, kuhusu huduma zinazopatikana katika Banda la Wizara, wakati walipotembelea katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane, yanayofanyika katika viwanja vya Nane Nane, Nzuguni, jijini Dodoma, yaliyobeba kaulimbiu ya “Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi”.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dodoma) |
No comments:
Post a Comment