Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme (kulia), Naibu katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Bi. Felista Mdemu (kulia) na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Katavi Mhe. Nehemia James mara baada ya kutoa elimu ya kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa makundi mbalimbali Mpanda mkaoni Katavi na leo Septemba 17,2024. |
No comments:
Post a Comment