JESHI LA POLISI DODOMA LA GHARAMIA MATIBABU YA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA . - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, February 15, 2025

JESHI LA POLISI DODOMA LA GHARAMIA MATIBABU YA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA .



Picha na Matukio mbalimbali zikimuonyesha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP), George Katabazi akitoa msaada Februari,15,2025 kwa baadhi ya wagonjwa walioshindwa kumudu gharama za matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Dodoma.

Aidha Katabazi amesema msaada huo ni michango iliyochangishwa na askari Polisi pamoja na wadua mbalimbali wa ulinzi na usalama katika Sherehe za "Polisi Family Day" zilizofanyika hivi karibuni na kuamua kuwashika mkono wananchi wenye uhitaji ikiwa ni moja falsafa ya Polisi Jamii.







No comments:

Post a Comment