
Leo Mei 4, 2025, Zitto Kabwe, kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Kigoma Mjini. Fomu hiyo alikabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kigoma Mjini, Idd Adam.


Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, (Mb), akiwasilisha bungeni jijini Dodoma, Mapendekezo ya Mfumo na Ukomo wa Bajeti ya Serikali...
No comments:
Post a Comment