ZITTO KABWE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE KIGOMA MJINI - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, May 4, 2025

ZITTO KABWE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE KIGOMA MJINI


Leo Mei 4, 2025, Zitto Kabwe, kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Kigoma Mjini. Fomu hiyo alikabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kigoma Mjini, Idd Adam.


No comments:

Post a Comment