
Leo Mei 4, 2025, Zitto Kabwe, kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Kigoma Mjini. Fomu hiyo alikabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kigoma Mjini, Idd Adam.



📌 Ashiriki Marathon ya Kuhamasisha Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Asema Nishati Safi ya Kupikia itapunguza uharibifu wa mazingira n...
No comments:
Post a Comment