
Leo Mei 4, 2025, Zitto Kabwe, kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Kigoma Mjini. Fomu hiyo alikabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kigoma Mjini, Idd Adam.


Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza jijini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu katika Mkutano wa Mwaka wa Muungano wa Kimataifa ...
No comments:
Post a Comment