SHANGWE ZATAWALA MAPOKEZI YA DKT. SAMIA MBINGA MJINI - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, September 21, 2025

SHANGWE ZATAWALA MAPOKEZI YA DKT. SAMIA MBINGA MJINI


Wananchi wa Mbinga mkoani Ruvuma wakimsubiri kwa shangwe Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Dkt. Samia anatarajiwa kuwa na Mikutano miwili ya Kampeni hii leo akianzia Mbinga Mjini na baadae Jioni Mbamba Bay.




No comments:

Post a Comment