
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akimpokea Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Ndugu Ezekia Dibogo Wenje ambaye atangaza kukihama Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM katika mkutano wa hadhara wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika Chato Mkoani Geita leo Jumatatu Oktoba 13, 2025.



No comments:
Post a Comment