DKT. SAMIA AMKARIBISHA WENJE CCM - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, October 13, 2025

DKT. SAMIA AMKARIBISHA WENJE CCM



Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho Ndugu Ezekia Dibogo Wenje ambaye ameamua kujiunga na CCM na kutangazwa leo Oktoba 13, 2025 katika mkutano wa Kampeni wa Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika Chato mkoani Geita.

No comments:

Post a Comment