DKT. SAMIA AOMBA KURA KWA WANANCHI WA LUGURU - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, October 11, 2025

DKT. SAMIA AOMBA KURA KWA WANANCHI WA LUGURU



Wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM wa Kijiji cha Luguru, Wilaya ya Itilima wakimsikiliza Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan aliposimama kuwasalimia akitokea Bariadi kuelekea Maswa katika muendelezo wa mikutano ya kampeni za chama hicho Mkoani Simiyu leo Jumamosi Oktoba 11, 2025.




No comments:

Post a Comment