
Picha za matukio tofauti zikimuonesha Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa kampeni za uchaguzi Mkuu leo Oktoba 20, 2025 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.






No comments:
Post a Comment