DKT. SAMIA KWENYE KAMPENI WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, October 12, 2025

DKT. SAMIA KWENYE KAMPENI WILAYANI MBOGWE MKOANI GEITA


Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na kuomba kura kwa wananchi maelfu ya wananchi wa Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wa Mji mdogo wa Masumbwe, Wilayani Mbogwe Mkoani Geita leo Jumapili Oktoba 12, 2025.


No comments:

Post a Comment