BUKOMBE WAUJAZA UWANJA WA USHIROMBO, KAMPENI ZA DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, October 12, 2025

BUKOMBE WAUJAZA UWANJA WA USHIROMBO, KAMPENI ZA DKT. SAMIA


Maelfu ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wa Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita wakiwa wamejitokeza kwa wingi na kuujaza uwanja wa Shule ya Msingi Ushirombo leo Jumapili Oktoba 12z 2025 kwenye Kampeni za Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyeanza Kampeni zake Mkoani humo leo akitokea Mkoa wa Shinyanga.


No comments:

Post a Comment