KISHINDO CHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA NKASI MKOANI RUKWA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, October 18, 2025

KISHINDO CHA KAMPENI ZA DKT. SAMIA NKASI MKOANI RUKWA


Umati wa wananchi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye Viwanja vya Sabasaba, Kata ya Namanyere, Nkasi Mkoani Rukwa, kumpokea na kumsikiliza Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyeingia Mkoani Rukwa jioni ya leo akitokea Mkoani Katavi kuendelea na mikutano ya kampeni za uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.









No comments:

Post a Comment