KISHINDO CHA WANANCHI WA MPANDA KWENYE KAMPENI ZA DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, October 18, 2025

KISHINDO CHA WANANCHI WA MPANDA KWENYE KAMPENI ZA DKT. SAMIA


Maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Oktoba 19, 2025 kwenye Viwanja vya Azimio.



No comments:

Post a Comment