UMATI WA WANANCHI WA BUTIAMA KWENYE KAMPENI ZA DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Friday, October 10, 2025

UMATI WA WANANCHI WA BUTIAMA KWENYE KAMPENI ZA DKT. SAMIA


Mamia ya Wananchi wa Butiama mkoani Mara waliofika kumlaki na kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa Oktoba 10, 2025.


No comments:

Post a Comment