
Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan akiapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Gwaride Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba, 2025.




Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) inaendesha mafunzo maalum ya siku nne kuhusu utayari na mwitikio wa dharura za Kemikali, Kibaiolojia,...
No comments:
Post a Comment